Na Mathias Canal, WEST-Dodoma Kamati ya Huduma na Maendeleo ya jamii imempongeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda kwa kusimamia kwa weledi na ufanisi uratibu wa zoezi la watumishi kuhamia Jijini Dodoma kuitikia maelezo ya serikali. Kauli hiyo ya pongezi imetolewa leo tarehe 8 Septemba 2022 na Mwenyekiti wa kamati hiyo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed