KAMATI YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAIPONGEZA WIZARA YA ELIMU USIMAMIZI WA WELEDI WATUMISHI KUHAMIA DODOMA

Na Mathias Canal, WEST-Dodoma Kamati ya Huduma na Maendeleo ya jamii imempongeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda kwa kusimamia kwa weledi na ufanisi uratibu wa zoezi la watumishi kuhamia Jijini Dodoma kuitikia maelezo ya serikali. Kauli hiyo ya pongezi imetolewa leo tarehe 8 Septemba 2022 na Mwenyekiti wa kamati hiyo